Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Tabata Kinyerezi Mbuyuni, Dar Es Salaam





Aina
Apartment
Vyumba
2
Bafu
1
Sifa
Maelezo
Hii apartment mpya sana inapangishwa bei 400000 kwa mwezi kodi kianzia miezi 6, Ina nyumba 2 vya kulala, sebule, jiko, public toilet, no self contained, full air-condition & fan, heater, umeme na maji unajitegemea, reserve water tank, parking bubwa sana, garden nzuri, distance kutoka kituoni dakika 1 hadi 2 hivi, Location tabata kinyerezi mbuyuni dar es salaam
Calls/Whatsapp 0768682919 au 0653233641
Service survey charge tsh 20000
Au malipo ya dalali endapo ulipapo nyumba




















