Shamba linauzwa Ruvuma


🌱 SHAMBA LINAPATIKANA – RUVUMA, WILAYA YA MADABA, KIJIJI CHA NANDETE 🌱
✨ Ukubwa: Ekari 400
✨ Bei: TZS 300,000/= kwa ekari moja
✨ Faida:
Lipo karibu na mto usiokauka – ideal kwa kilimo cha umwagiliaji.
Linafaa kwa vitunguu, tangawizi, vitunguu swaumu, mahindi, miwa, na mazao mengine mengi.
Hati: Hati halali za kijiji.
Limeachwa kwa miaka mitatu bila kulimwa – ardhi bado safi na yenye rutuba.
📍 Ni eneo zuri sana kwa uwekezaji wa kilimo chenye tija kubwa!
Buy,sale, Rent and Advertise with us
Calls and Whatsapp+255621488071