Godown/Ghala linapangishwa Mbagala, Dar Es Salaam


Chumba sebule master bedroom, dinning room, jiko na store yake kinapangishwa bei laki 2 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 3 nakuendelea. Nyumba IPO mbagala mbande location songasi. Unajitegemea umeme luku yk pamoja na maji pia mita yk na fensi ya parking ipo pia. Umbali wake kutoka kwenye kituo cha daladala hadi kwenye nyumba ni kama mwendo wa dakika 3 ivi kwa kutembea kwa miguu. Kwa mawasiliano zaidi pga namba 0688559385 au pga namba 071925 0426.



















