Nyumba inapangishwa Kibamba, Dar Es Salaam


(180,000X4)KIBAMBA SHULE
——
APARTMENT INAPANGISHWA KIBAMBA SHULE #180K 
=====
Chumba cha kulala sebule jiko na public toilet ndani 
====
Kodi 180,000 Kwa mwezi × 4
===
Inajitegemea umeme na maji yanaflow chooni na jikon,ndani ya fence parking kubwa 
===
Dakika 6 Kwa mguu toka kituoni 
===
Kupelekwa kuona nyumba elfu 15 itadumu mpaka upate bila kuchajiwa tena 
=
CONTACT US:-
0716223412
0683597453
Napatikana muda wote karibuni sana wateja




















