Nyumba inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam


𝗜𝗡𝗔𝗣𝗔𝗡𝗚𝗜𝗦𝗛𝗪𝗔: Ni apartment ya vyumba vitatu (3) vikubwa vya kulala, chumba kimojawapo ni 'MASTER BEDROOM', Sebule kubwa yenye dining space, Jiko lenye makabati na choo cha public ndani. Ipo ndani ya fensi parking space kubwa na inajitegemea umeme na maji ya DAWASCO
𝗠𝗔𝗛𝗔𝗟𝗜 𝗜𝗟𝗜𝗣𝗢: KIMARA SUKA upande wa kulia kama unatoka Ubungo. Umbali ni km 2 kutoka morogoro road
𝗕𝗘𝗜 𝗬𝗔𝗞𝗘: Laki tano tu (500,000/- Tshs) × miezi 6 + mwezi mmoja malipo ya Dalali
𝗦𝘂𝗿𝘃𝗲𝘆 𝗰𝗵𝗮𝗿𝗴𝗲 kupelekwa kuona nyumba ni Tshs 15,000/- tu. Italipwa mara moja na itatumika hiyo hiyo ikiwa mteja utataka kuona nyumba zingine.
𝗣𝗜𝗚𝗔 𝗦𝗜𝗠𝗨: 0758 892945 (Pia inapatikana WhatsApp)



















