Nyumba inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







SASA IMEPUNGZWA BEI KUTOKA 300,000/= MBAKA 250,000/=×6
APARTMENT ZINA PANGISHWA KIMARA STOP OVER DK14 KWA MIGUU KUTOKA LAMI
--------
Chumba kikubwa
Seble kubwa sana
Jiko la kisasa lina makabati
Public toilet
Maji yana flow
Luku yako
Ndani ya fence
Parking space kubwa sana
---------
Service charge 15,000/=
Kodi 250,000/=×6
----------
Malipo ya dalali ya mwezi mmoja ambayo ni laki 2.5
-----------
Contact
#0676_218580(WhatsApp)
#0693_673010
#dalal_big_kimara🇹🇿
#KIUMBE_REAL_ESTATE_AGENT 🇹🇿
EPUKA MATAPELI FANYA KAZI NA MADALALI WENYE OFFICE NA WALIYO SAJILIWA 🙏