Nyumba inapangishwa Tabata, Dar Es Salaam


🏢 KIWANJA KINAUZWA – TABATA BIMA 🏢
Kiwanja kizuri sana kinapatikana Tabata Bima, takribani dakika 1 tu kutoka kituoni 🚶♂️.
Ni eneo lenye uwekezaji mkubwa sana 📈 na lina thamani kubwa sokoni.
Kina nyumba za zamani za kuvunjwa 🏚️, hivyo unaweza kutumia eneo hilo kujenga apartments au vyumba vya kupangisha 🏬.
🔹 Unaweza kujenga vyumba kuanzia 6 au zaidi
🔹 Ukapangisha kuanzia 500,000/= 💰 kwa mwezi kulingana na finishing utakayoweka.
Ni eneo zuri sana kuishi au kuwekeza 🌟 kwa sababu:
✔️ Hakuna foleni 🚗❌
✔️ Ufikaji wa mjini ni rahisi sana 🛣️
📐 Ukubwa: SQM 800
🔥 Bei : Milioni 100 tu!
👀 Service charge: 30,000/=
Hii ni fursa adimu sana kwa mwekezaji makini.
Thamani ya pesa yako utaiona wazi kwenye uwekezaji huu.
🤝 Karibu tajiri tufanye biashara.
📞 Piga: +255 688 412 890
✨ Dalali wako Wakishua



















