Nyumba inauzwa Kimara, Dar Es Salaam


π° Inapangishwa KIMARA BARUTI
π Kodi ni Tsh 400,000/= *6
π Ambaye hana halaka ya kuhamia
___
________
β’ Jiko la kisasa, litafungwa makabati
β’ Sebule
β’ Chumba Cha Kulala
β’ Choo Ndani
* A/c
* Heater ya Maji Moto
* Security Camera (CCTV- Camera)
* Paving Blocks zitawekwa
* Inajitegemea umeme
* Ndani ya fence
* Maji ndani
#Umbali wa dakika 10 kwa miguu au bodaboda 1,000/=
#Note: Inakuwa tayare kuhamia tarehe 01/12/2024, Kuona na Kulipia Ruksa
________
#Malipo ya Dalali Nasoni ni 400,000/=
#Kupelekwa kuona nyumba 15,000/=
β:- 0753172516