Nyumba inauzwa Ubungo, Dar Es Salaam


#Inapangishwa, UBUNGO KIBO
š 180,000/= Ć3 (lipia kuanzia miezi 3)
_______
____
⢠Chumba master
⢠Sebule
⢠Inayopangishwa ni gorofa ya 2
* UMEME Sub-miter yako
* Maji Ndani muda wote
* Ndan ya fensi
* Car Parking
* Mlinzi wa Kampuni
šNote: Kodi inaambatana na hela ya tahadhari 50,000/=, unavyahama unarudishiwa
#Ipo Umbali wa dk 6 , had kituoni
___
#Malipo ya Dalali ni 180,000/=
0710614924
0688653940



















