Kiwanja kinauzwa Kibamba, Dar Es Salaam


KIWANJA SQM.450, TSHS.11 MILIONI,
LUGURUNI/KIBAMBA.
Ndani ya hiki Kiwanja kuna Banda lenye Vyumba vinne(4)
Utaamua mwenyewe ucubje au uliboreshe.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM.450.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Umbali kutoakq Barabara ya Morogoro ni kilomita 3.
Kwa Boadboda Nauli ni Tshs.1,000 (Elfu moja)
Huduma za Umeme na Maji zipo tayari.
________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
________________mpg
Ukihitaji kukagua taarifa mapema Tafadhali.