Kiwanja kinauzwa Mbezi, Dar Es Salaam


KIWANJA CHENYE HATI. SQM.2,700, TSHS.162 MILIONI,MBEZI-MUHIMBILI.
Hapa ni umbali wa kilomita 1.5 tu kutoka Barabara ya GOBA/MBEZI.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.
Mtaa umejengeka vizuri
Panafikika kiurahisi Misimu yote,
Na Huduma za Umeme na Maji zipo jirani.
_____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
____________mpg


















