Kiwanja kinauzwa Tabata, Dar Es Salaam


Kiwanja cha Ndoto Huko Tabata Bima!
Fursa ya pekee ya kumudu kiwanja cha kupendeza katika eneo la Tabata Bima!
- Ukubwa:
600 sqm - nafasi ya kutosha kwa nyumba yako ya ndoto au mradi wa Biashara!
- Bei ya Kuvutia:
TZS 150 milioni tu!
- Mazingira:
Kimezungukwa na uzio salama, na kipo cha PILI tu kutoka lami kuu - upatikanaji wa uhakika!
- Eneo la Kimkakati:
Tabata Bima, eneo linalokua kwa kasi, linalofaa kwa makazi au uwekezaji.
📞 Piga simu: 0688 412 890
📍 Ofisi: Kinyerezi Mwisho Stendi
💸 Ada ya Kuona: Tsh 30,000