Kiwanja kinauzwa Tabata, Dar Es Salaam


🏡 KIWANJA KINAUZWA – TABATA BARACUDA 🏡
💰 Bei: Milioni 90
📐 Ukubwa: Sqm 800
📍 Meta 200 tu kutoka kituoni
📄 Kimepimwa vizuri (Well Surveyed) + Hati Miliki ipo
✨ SIFA ZA KIWANJA
✅ Umeme na maji vipo tayari
✅ Eneo tambarare
✅ Jirani na barabara ya lami
✅ Kuna nyumba za kuendeleza
✅ Panafikika muda wowote
🔥 Fursa adhimu ya uwekezaji!
Eneo linafaa kwa:
💧 BNB
⚡️ Hotel
🏢 Apartments
🏠 Makazi binafsi
🏥 Hospital n.k
Hii ni nafasi ya kipekee kwa mwekezaji makini – usikubali ikupite!
📞 +255688412890
💰 Service charge: 30,000/=
Karibu sana tufanye biashara 🤝
Dalali wako Wakishua ✨



















