Kiwanja kinauzwa Tabata, Dar Es Salaam


š TABATA SEGEREA ā DAR ES SALAAM
š„ KIWANJA CHA PEKEE KINAUZWA š„
š Ukubwa: Sq. Meter 2,000
š£ļø Kinatazama barabara ya lami (main road)
š Kina Hati Miliki
Eneo hili linafaa sana kwa uwekezaji mkubwa kama:
ā½ Kituo cha Mafuta
š¢ Apartments
šØ Hoteli
šļø Villas
š¬ Biashara mbalimbali
Ni sehemu yenye mzunguko mzuri wa watu na magari ā fursa adimu kupata kiwanja cha ukubwa huu kinachoangalia lami Tabata Segerea.
š° Bei: Milioni 430
š¤ Maongezi yapo kwa mteja serious
š Piga simu sasa tufanye biashara! 0688412890.
#TabataSegerea #KiwanjaKinauzwa #UwekezajiDar #DalaliWakoWakishua



















