Nyumba inapangishwa Bunju, Dar Es Salaam


🌟 CHUMBA MASTER & SEBULE 🌟
📍 Eneo: Bunju – Karibu na Main Road
⸻
🏠 Muundo wa Nyumba:
• 🛏️ Chumba Master Kubwa
• 🛋️ Sebule kubwa yenye nafasi
⸻
💰 Kodi: TSh 150,000/= kwa mwezi
🔒 Malipo ya awali: Miezi 6
🖌️ NB: ukilipa nyumba inawekwa milango kote ndani ya Siku Mbili
⸻
📞 Wasiliana Nasi:
📲 0687 800 788
📲 0713 958 395



















