Nyumba inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam


🚨🔥APARTMENT NZURI MPYA KUBWA
âž–âž–âž–âž–âž–
📍Kimara mwisho
đź•‘kutoka standi ya mwendo km 2 usafili bajaji 700 boda boda 1000 Ukishuka tyu upo ndani
✍️SIFAZAKE
🌲Chumba kimoja Master
🌲Yani chumba na chooo chako ndani
🌲Umeme Luku inajitegemea
🌲Maji meter inajitegemea na yanaflow ndani
🌲Nyumba haina fence ila mazingira mazuri usalama wa kutosha
đź”·Kodi Tsh 100, 000/= Ă— miezi 6
đź”·Malipo ya Dalali Tsh 100, 000/=
đź”·Service Charge. Tsh 15, 000/=
______________
#Piga_simu 👇
,
0627977383
MR ROONY TZ