Nyumba inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam


𝗜𝗡𝗔𝗣𝗔𝗡𝗚𝗜𝗦𝗛𝗪𝗔 (𝟮𝟱𝟬𝗸 𝗧𝘀𝗵𝘀): Ni apartment ya chumba kimoja cha kulala 'MASTER BEDROOM, Sebule na Jiko...Ipo ndani ya fensi parking space kubwa na inajitegemea umeme na maji ya DAWASCO.
𝗠𝗔𝗛𝗔𝗟𝗜 𝗜𝗟𝗜𝗣𝗢: KIMARA STOP OVER Upande wa kushoto kama Unatoka Ubungo...Umbali ni km 1 kutoka Morogoro road
𝗕𝗘𝗜 𝗬𝗔𝗞𝗘: Laki mbili na elfu hamsini tu (250,000/- Tshs) × Miezi 3 + Mwezi mmoja malipo ya Dalali
𝗦𝘂𝗿𝘃𝗲𝘆 𝗰𝗵𝗮𝗿𝗴𝗲 kupelekwa kuona nyumba ni Tshs 10,000/- tu...Italipwa mara moja na itatumika hiyo hiyo ikiwa mteja utataka kuona nyumba zingine.
𝗣𝗜𝗚𝗔 𝗦𝗜𝗠𝗨: 0758 892945 (Pia inapatikana WhatsApp)



















