Nyumba inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam


💥 Inapangishwa #250,000/= *6
📌 KIMARA KOROGWE
📌 Lami had Kwenye nyumba
______
__
• Jiko
• Sebule Kubwa
• Chumba Master
• Choo Ndani k anatumia
* UMEME inajitegemea
* Maji Ndani
* Fensi
* Parking
#Umbali wa KM 1 BAJAJI 500 Ukishuka unapiga teke mlango
📍 Note: kodi Inaambatana na hela ya Tahadhari (caution money) 250,000/=
_____
#Malipo ya dalali Nasoni ni 250,000/=
#Service Charge 15,000/=
№: 0753-172-516