Nyumba inapangishwa Madale, Dar Es Salaam


📢 KIWANJA KINAUZWA – 🏞️ MADALE
📍 Kipo Madale, umbali wa mita 200 kutoka lami 🛣️
📌 Eneo limepimwa, lipo sehemu tulivu na salama 🛖🌿
📐 MAELEZO YA KIWANJA:
• 📏 Ukubwa: 740 sqm
• 💰 Bei: Tsh Milioni 57
• 📍 Umbali: Mita 200 kutoka barabara kuu (lami)
• 📄 Room – Kiwanja kimepimwa, kiko tayari kwa ujenzi 🧱
🔰 LINAFAA KWA:
🏠 Makazi ya kudumu – utulivu, mandhari nzuri
🏢 Biashara/maendeleo ya uwekezaji – karibu na barabara, nafasi nzuri kwa maduka, ofisi, au nyumba ya kupanga
📞 Wasiliana Nasi Sasa:
dalalimbezibeach_goba_salasala
0715127812