Nyumba inauzwa Yombo Vituka, Dar Es Salaam





ENEO LA BIASHARA, INAUZA BANK,TSHS.45 MILIONI, YOMBO VITUKA.
Hili eneo linaangalia Barabara ya Lami ya Mtaa.
Panafaa kuweka Jengo la kisasa la
Maduka ya BIASHARA (MAFREMU) au
Pamoja na Makazi.
Nyumba iliyopo ni YA KIZAMANI na ina.
●Vyumba 9 vya kulala na
●Frem za Duka 5.
Ukubwa ni Kiwanja SQM.400.
Umiliki ni LESENI YA MAKAZI.
MUWEKEZAJI HAPA PANAFAA WAHI.
___________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
____________jj
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.