Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Bunju, Dar Es Salaam


🌟 CHUMBA MASTER NA SEBULE – MPYA, NDANI YA FENSI 🌟
📍 Eneo: Bunju
💰 Kodi: 150,000/= kwa mwezi
🔑 Malipo kuanzia miezi 6
🏠 Muundo wa Nyumba:
• 🛏️ Chumba 1 (Master)
• 🛋️ Sebule kubwa
• ⚡ Umeme: mnashare wawili
• 🚿 Maji: mnashare wawili
📞 Mawasiliano:
Call/WhatsApp: 0687 800 788 / 0713 958 395



















