Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kigamboni, Dar Es Salaam


NYUMBA ZINAPANGISHWA KIGAMBONI
<> location kisiwani
<> nyumba ina chumba kimoja master sebule na jiko nzuri (pamoja na public toilet)
✅nyumba iko fenced
✅nyumba ina parking
✅nyumba Ina electric ⚡️
✅nyumba ni apartment 2
✅nyumba mpya na ya kisasa
<> asking price tsh,, 400k per month
mwezi moja wa dalali kisiwani
<> malipo miezi mitatu tu
<> Services Charge 20k zingatia utalatibu
◾️mawasiliano
✅0628505896
✅0763954837


















