Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







*SOMA KWA MAKINI NDUGU MTEJA *
*#APARTMENT INA PANGISHWA KIMARA MWISHO UMBALI WA DAKIKA 10-15 KWA KUTEMBEA KWA MGUU ....*
------
#Chumba Kimoja 
#kikubwa Master 
#Sebule kubwa sana 
#Na kibalaza chako 
#Slide windows 
#Maji yana flow chooni 
#Umeme Luku Wawili 
#Maji dawasa miters yako 
#security 24HRS kilakona
#Fensi ipo/Parking Akuna 
#Mazingila mazuri sana mno 
--------
Service charge ni 
shilingi 15,000/=
Kodi ni Tsz 150,000/=X "5"
(akuna punguzo la miezi)
----------
Mawasiliano 0656623510
Wsp 0752436347




















