Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Olorien, Arusha


NYUMBA INAPANGISHWA KIJENGE MWANAMA OLORIEN 
Ni Chumba Kimoja Chakulala Master 
Ina Sebule 
Ina Jiko
Ina Parking 
Ipo ndani ya Geti
Unajitegemea umeme na maji 
Bei 150,000 kwa Mwezi 
.
Contacts - 0683545452







