Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Tangazo, Mtwara


π’ TANGAZO KWA MADALALI WENZANGU β SINGIDA MANISPAA π’
Nina wateja watatu wanaohitaji vyumba vya kupanga.
π Mahitaji yao ni:
1οΈβ£ Chumba chenye choo ndani (kipaumbele).
2οΈβ£ Kama hicho hakipo, basi wanahitaji Chumba cha kulala chenye choo ndani + Sebule.
βUkimkosa vyumba vyenye sifa hizo, tafadhali nijulishe ulivyo navyo ili tuone kama vinafaa.
π Maeneo wanayopendelea (Singida Manispaa):
Jovena (karibu na barabara)
Mizani
Manga
Tafadhali nitumie picha, bei na masharti ya nyumba husika
π°Kodi 200,0000/=.
π 0658128485
---
#singida #dalalisingida #dalaliwanyumbasingida #vyumba_vya_kupanga #vyumbasingida #jovena #mizani #manga


















