Nyumba ya vyumba vinne inapangishwa Kigamboni, Dar Es Salaam


🏠 NYUMBA INAPANGISHWA (STANDALONE & SERVANT)
📍Kigamboni mnadani (Soko maziwa)
🏠Vyumba Vinne vyote master
💰Milion Moja na laki tano (1.5M) kwa mwezi
👉Sebule
👉Dining
👉Jiko
👉Choo cha jumuiya
⚡Electric fence
✅Nyumba ipo ndani ya fensi
✅Parking kubwa
✅Usalama wa uwakika
💧Maji ni masaa 24/7
📲Call/Whtsp
📲0714079500



















