Nyumba ya vyumba vinne inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam


NYUMBA YA KIFAMILIYA INA PANGISHWA MBEZI KWA MSUGULI KM1 KUTOKA LAMI
-------
Vyumba 4 vya kulala 2 master bedroom
Seble kubwa sana
Dinning room
Jiko kubwa la kisasa lina makabati
Full makabati vyumbani
Maji yana flow
Tiles
Gypsum
Garden safi
Ndani ya fence
Parking space kubwa
---------
Service charge 15,000/=
Kodi 600,000/=×6
----------
Malipo ya dalali ya mwezi mmoja ambayo ni laki 6
-----------
Contact
📞#0676_218580 (WhatsApp)
📞#0693_673010
#DALALI_BIG_KIMARA 🇹🇿
#KIUMBE_REAL_ESTATE_AGENT🇹🇿
EPUKA MATAPELI FANYA KAZI NA MADALALI WENYE OFFICE NA WALIYO SAJILIWA 🙏