Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Goba, Dar Es Salaam


NYUMBA NZURI YENYE VYUMBA VINE (4) TSHS.250 MILIONI, GOBA SENTA.
Ipo umbali wa mita 500 tu kutoka Barabara ya Lami.
Kiwanja kina ukubwa SQM.1,000.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara kabisa.
Vyumba vya kulala 4 (Masta 1) Pia kuna Sebule,
Jiko, Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani.
____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuina ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
___________zw
Nyumba ni tulivu, salama na ina nafasi.
Ukihitaji kuikagua taarifa mapema tafadhali.