Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Pugu, Dar Es Salaam


VYUMBA 8, INAUZWA NA BANK, TSHS.45 MILIONI, GONGOLAMBOTO.
Unashukia GONGOLAMBOTO Mwisho.
Ipo umbali wa mita 100 tu kutoka Barabara ya Pugu.
Nyumba kubwa ina vyumba 4 (masta 1)
Uwani kuna nyumba yenye jumla ya vyumba 4 pia.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 300.
Umiliki ni LESENI YA MAKAZI.
Ndani ya Fensi.
INAFAA KUPANGISHA
_______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
_______________jj
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.