Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Pugu, Dar Es Salaam


NYUMBA INAUZWA NA BANK, TSHS.20 MILIONI PUGU KINYAMWEZI.
Hapa ni NJIAPANDA YA KINYAMWEZI/KWA BUBUBU TRANSFOMA.
Wastani wa Mita 850 tu kutoka Lami.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM.420.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. 
Ina vyumba 4 ( Masta 1)
Pia Sebule, Jiko, Dining-room, 
Store na Choo cha Familia ndani 
________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000. 
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu. 
+255 714 591 548
________________mpg


















