Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Kimara, Dar Es Salaam


Ghorofa Nzuri Linauzwa
Mahali: Kimara Temboni
Bei: Milioni 330 (Mazungumzo)
Km1 Kutoka Barabara Ya Lami, Barabara Mkeka Kwa Gari Zote
☑️Sqm600
☑️Vyumba 5, Vitatu Ni Master
Sebule (2), Dining Jiko (2) Store Na Choo
☑️Ac, Heater, Garden, Balcony
☑️Maji Dawasa & Reserve Tank
☑️Hati Mpya Itatoka Kwa Jina La Mnunuzi
Gharama Ya Kuoneshwa Ni 50,000/= (Inalipwa Maramoja Na Itadumu Mpaka Upate)
Whatsapp: 0764486945
Call: 0682699988 / 0622651649
Viwanja Na Office Space Pia Zinapatikana Kwa Size Zote. Karibuni Sana Wateja Wangu🙏
#MasterMijengo #DalaliMasterTz