Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Viwandani, Dodoma


NYUMBA INAUZWA
MAHALI DAR ES SALAAM (DUCE)upande wa viwandani mita 20 kutoka lami kubwa na nyumba iko barabarani kutokea taifa kwenda duce,
Nyumba iko taifa karibu na chuo cha duce upande wa pili wa bandari kavu, pia Nyumba Ina vyumba vitano vinne kawaida na master moja pia kuna mabanda ya nje
Eneo lina ukubwa wa sqm 700
Nyumba ina details zote ina hati miliki ipo, pia haina mgogoro wowote
BEI MILLION 350/=