Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







SASA IMESHUSHWA BEI KUTOKA 400,000X6 HADI 350,000X6
NYUMBA INA PANGISHWA INA JITEGEMEA YENYEWE KWENYE FENCE STAND ALONE KIMARA TEMBONI CHA MKAA KM1.5 KUTOKA LAMI
---------
Vyumba 3 vya kulala kimoja master bedroom
Seble kubwa
Jiko kubwa
Dinning room
Public toilet
Madilisha ya shata
Maji yana flow
Luku yako
Ndani ya fence
Parking space kubwa sana
-----------
Service charge 15,000/=
Kodi 350,000X6
-----------
Malipo ya dalali ya mwezi mmoja ambayo ni laki 3.5
------------
Contact
#0676_218580(WhatsApp)
#0693_673010
#DALALI_BIG_KIMARA🇹🇿
#KIUMBE_REAL_ESTATE_AGENT
EPUKA MATAPELI FANYA KAZI NA MADALALI WENYE OFFICE NA WALIYO SAJILIWA 🙏