Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam







Kodi ni 600,000/= kwa mwezi [Kuanzia miezi mitatu tu (3)]
💎Vyumba 2 kimoja master
💎Sebule kubwa
💎Jiko
💎Dinning Room
💎Public toilet
💎Air Condition
Location: Mbezi Magufuli kwa Yusuph
Umbali wa kutoka lami mpka kwenye nyumba ni kilometa 1 tu
Service Charge: 20,000/=
+255 684 88 14 29
+255 658 58 64 49
MSHATI



















