Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Nkuhungu, Dodoma


#Repost dalali_ngosha_dodoma download.ins
👉NYUMBA INAPANGISHWA
➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖
👉MAHALI: NKUHUNGU NDACHI
️➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖
👉NKUHUNGU NDACHI0714024420
➖➖➖➖➖➖
👉NYUMBA ILIVYO:
➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖
👉inavyumba vitatu kimoja master
👉sebule na jiko na choo Cha public na stoo
👉umeme na maji unajitegemea
👉Karibu na usafiri.
👉Iko ndani ya fensi.
👉Parking kubwa, Mazingira
➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖
MALIPO:
➖➖➖➖➖
👉Bei ni 400000 kwa mwezi, Malipo ni miezi 6
👉DALALI ATALIPWA NA MPANGAJI HELA YA MWEZI 1 TOFAUTI NA KODI YA NYUMBA.
👉 ya kwenda kuona nyumba ni 10,000. (Itadumu mpaka mteja atakapopata nyumba aipendayo).
.
. ☎️0714024420
➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖