Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Salama, Mara


NYUMBA 2 KWENYE FENSI MOJA ZINAPANGISHWA – BEI TSH 900,000
Fursa nzuri ya makazi tulivu kwenye nyumba za kisasa zilizo ndani ya fensi moja, mita chache tu kutoka barabara kuu!
📍 Mahali: Umbali wa mita 300 kutoka lami
🏠 Kila nyumba ina:
• Vyumba 3 (2 ni master)
• Sebule
• Jiko
• Stoo
• Dining
• Public toilet
🧱 Nyumba zipo mbili ndani ya fensi moja
💧 Maji yapo
✅ Mandhari tulivu na salama
💰 Kodi: TSh 900,000 kwa mwezi
🗓 Malipo: Kuanzia miezi 6
📞 Wasiliana:#0758998074👈
#0689138795whatsapp
#NyumbaInapangishwa #MakaziBora #RealEstateTZ #UdalaliWaUhakika #NyumbaMbili #FensiMoja