Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Sinza, Dar Es Salaam


APARTMENT MPYA ROOM 2&3, SINZA.
Vyumba 3 Kodi Tshs.1,500,000/Mwezi
Vyumba 2 Kodi Tshs.1,200,000/Mwezi.
Kodi ilipwe kuanzia MIEZI 6 MWANZO.
Ghorofa ni Mpya na-ya kisasa.
Kila Apartment ina Master 1,
Sebule, Jiko na Choo cha Familia.
LUKU ya pekeyake,
Maji yapo na
Parking pia ipo.
______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni Kodi ya Mwezi 1.
Kuona ni Tshs.20,000.
(Unalipa wewe MPANGAJI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
______________cMb



















