Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Sinza, Dar Es Salaam


STAND ALONE HOUSE 
Loc:sinza
Price:600,000 per month 
Term:6 month 
Note:(zingatia)
30,000 pesa ya ofisi inalipwa mara moja bila kusahau pesa ya dalali mwezi mmoja 
Classification:
Vyumba 3 vya kulala kimoja master sebule dining jiko,stoo nyumba nzuri ya kuwahi ndani ya fensi umeme unajitegemea maji unajitegemea 
Fanya kazi na Dalali wenye ofisi uepuke kutapeliwa fika ofisini sinza madukani tukudumie 
For more info 
Call:0688037829👈
Call:0718123756👈



















