Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Buyuni, Dar Es Salaam


NYUMBA YENYE HATI, VYUMBA 3,TSHS.35 MILIONI,BUYUNI-CHANIKA.
Ipo eeneo la KWA-MASISTA/KIGEZI/KWA BENI BAR
Wastani wa mita 100 tu kutoka Barabara ya Lami.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 700.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.
Inahitaji umaliziaji ujenzi.
_______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_______________jj


















