Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Goba, Dar Es Salaam


NYUMBA YENYE VYUMBA 3, INAUZA BANK, TSHS.20 MILIONI, GOBA-MATOSA.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM.300.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Nyumba ipo umbali wa mita 200 tu kutoka Barabara ya Lami.
_____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_____________