Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Goba, Dar Es Salaam


Nyumba ya kumalizia inauzwa ipo goba mtaa wa tegeta A
Inavyumba vitatu vya kulala kimoja master, seble, dinning, jiko na toilet public
Eneo square meters 400
Kutoka goba njia nne ni km mbili
Kutoka njia ya tegeta A inayowekwa lami ni mita 400
Bei milioni 70 maongezi yapo
Piga 0719190753 au 0759197277


















