Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kimara, Dar Es Salaam


NYUMBA YENYE VYUMBA 3,TSHS.60 MILIONI, KIMARA-SUKA.
Kiwanja SQM.500.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Vyumba vya kulala 3 ( Masta 1)
Pia kuna Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
_____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
______________