Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kinyerezi, Dar Es Salaam


🏠 NYUMBA INAUZWA KINYEREZI MONGOLANDEGE! 🏠
Unatafuta nyumba ya kujimalizia na kuhamia? Hii hapa!
✅ Vyumba 3 (1 Master), Sebule, Jiko, Choo cha Umma
✅ Usalama wa uhakika
✅ Umeme & Maji vipo
✅ Ukubwa: 350 sqm
✅ Bei: Milioni 35 (Maongezi yapo)
📞 Piga simu: 0688 412 890
📍 Ofisi: Kinyerezi Mwisho Stendi
💸 Ada ya Kuona: Tsh 30,000
Fursa hii usiikose! 🏡



















