Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kitunda, Dar Es Salaam







NYUMBA KALI, IMESHUSHWA BEI,KITUNDA-KIVULE,
NJIAPANDA YA SHULE.
Hapo awali BEI ILIKUWA 100+MILIONI.
SASA IMESHÙSHWA.
INAUZWA BEI YA DHARULA.
NJOO NA TSHS.80 MILIONI.
UJITWALIE NA HUTAJUTIA.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 937.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.
Nyumba kubwa Ina vyumba 3(Masta 1)
Pia kuna Sebule,Jiko,Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani.
Pia kuna nyumba ndogo yenye Chumba kimoja Uwani.
Nyumba ina KISIMA na Parking ipo ya kutosha.
__________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
__________mskv
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.