Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kivule, Dar Es Salaam


NYUMBA MBILI (2) MADUKA 15 VINAUZWA PAMOJA,TSHS.120 MILIONI, KIVULE NJIA PANDA.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 1,850.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Hapa matumizi ni Biashara na Makazi.
Nyumba mbili za kisasa ZAKUHAMIA.
Kubwa inajitegemea.
Vyumba 3 (Masta 1)
Pia kuna Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Nyumba ndogo Ina Vyumba 2 vya kulala ambapo a pia ina Sebule na Jiko.
Nyumba Ina KISIMA CHA MAJI.
Fremu za MADUKA zipo jumla 15.
Zanahitaji umaliziaji ujenzi.
Ni jirani na Kituo cha Daladala na ni Gari moja tu kufika Mjini.
Wahi kuona ili ikikupendeza uwekeze hapa, HUTAJUTIA.
_______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_______________mskv


















