Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kivule, Dar Es Salaam


NYUMBA NZURI YENYE VYUMBA 3,TSHS.60 MILIONI, KIVULE-SOKONI.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM.40p.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Hii ni nyumba nzuri ndani ya Fensi na jirani na Kituo.
Na Usafiri ni Gari moja tu kufika Mjini.
Ina vyumba vya kulala 3 (Masta 1)
Pia kuna Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia.
Pia kuna Chumba kingine cha nje.
Parking yenye Paving ipo.
______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
______________mskv
Ukihitaji kukagua taarifa mapema Tafadhali.