Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kivule, Dar Es Salaam


NYUMBA YA KUMALIZIA UJENZI. VYUMBA 3,TSHS.23 MILIONI. KIVULE FREMUKUMI.
Vyumba 3( Masta 1) Pia ina Sebule,
Jiko, Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani. 
Wiring tayari imefanyika.
_______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000. 
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu. 
+255 714 591 548
________________mskv
Ukihitaji kukagua taarifa mapema Tafadhali.




















