Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbagala Chamazi, Dar Es Salaam


Aina
Nyumba
Vyumba
3
Huduma na Sifa
Maelezo
๐ NYUMBA INAUZWA โ MBAGALA CHAMAZI (Mfenesin)
๐ฐ Bei: Milioni 45 (mazungumzo yapo, njoo site)
Nyumba nzuri na ya kisasa inauzwa, ipo Mbagala Chamazi โ Mapemba, eneo tulivu na linafikika kwa urahisi.
โจ Sifa za nyumba:
Vyumba 3 vya kulala (kimoja Master Bedroom)
Sitting Room
Dining Room
Jiko
Public Toilet
Umeme wa LUKU upo
Maji yanapatikana
๐ Nyumba ipo kwenye mazingira mazuri, inafaa kwa makazi ya familia.
๐ฅ Usikose fursa hii!
Hasara kwa muuzaji, faida kwa mnunuzi. Njoo site ujionee mwenyewe.
๐ Kwa maelekezo zaidi:
Piga simu: 0683 665504



















