Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbagala, Dar Es Salaam







Nyumba Nzuri Sana Inauzwa Tsh Million 120 tu
Ni nyumba Mpya
Nyumba Ipo Mbagala ChamazJiji la dar es salaam Wliaya ya temeke kata ya Chamaz mtaa wa msufini
Vyumba vipo vitatu vya kulala kimoja ni master bedroom
Ina stting room na Dining room Ina jiko na store Ina public toilet 🚻 Ina maji kisima umeme, Electric Fance
Njoo 🏃♀️➡️ boss wangu nkuzie hii nyumba nzuri sana BEI MILION 120 Maongezi Yapo CALL 0683491594,0716974073



















