Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbezi, Dar Es Salaam


NYUMBA YAVYUMBA 3,TSHS.20 MILIONI, MBEZI-LUXUARY.
Umbali ni kilomita 1.5 kutoka
Barabara ya Lami ya Goba/Mbezi.
CHANGAMOTO;
Gari inaishia Mita 20 kutoka ilipo nyumba.
Vinginevyo haina,Shida.
Ni nzuri na YAKUHAMIA.
Vyumba 3 ( Masta 1)
Pia ina Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 200.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
_____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
____________mpg